sw_tn/mat/07/24.md

438 B

Hivyo basi

"Kwa sababu hiyo"

maneno yangu

Hapa "maneno" yanarejea kile ambacho Yesu alisema

kama mtu mwenye hekima aliyejenga nyumba juu ya mwamba

Yesu analinganisha wale wanaotii neno lake na mtu aliyejenga nyumba ambayo haitazulika na kitu.

mwamba

Huu ni mwamba mbaya chini ya mchanga ulio juu na udongo, sio jiwe kubwa au mpaka juu ya ardhi.

ilikuwa imejengwa

Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo tendaji. "yeye alijenga"