forked from WA-Catalog/sw_tn
438 B
438 B
Hivyo basi
"Kwa sababu hiyo"
maneno yangu
Hapa "maneno" yanarejea kile ambacho Yesu alisema
kama mtu mwenye hekima aliyejenga nyumba juu ya mwamba
Yesu analinganisha wale wanaotii neno lake na mtu aliyejenga nyumba ambayo haitazulika na kitu.
mwamba
Huu ni mwamba mbaya chini ya mchanga ulio juu na udongo, sio jiwe kubwa au mpaka juu ya ardhi.
ilikuwa imejengwa
Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo tendaji. "yeye alijenga"