sw_tn/mat/07/07.md

1.4 KiB

Maelezo kwa ujumla

Yesu anawaambia makutano juu ya kile kinachoweza kutokea baadaye katika maisha yao binafsi. viwakilishi vya "wewe" na "wake" wake katika wingi.

Omba...Tafuta...Bisha

Hii ni misemo ya maombi kwa Mungu. Mfumo wa kitenzi inaonyesha kwamba tuendelee kuomba mpaka yeye ajibu. Ikiwa lugha yako ina mfumo wa kufanya kitu na kurudia rudia tena, unaweza kutumia hapa.

Omba

Hii ina maana ya kuhitaji kitu kutoka kwa Mungu

Nawe utapewa

Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo hai.AT:"Mungu atakupa kile unachotaka."

Tafuta

"Tafuta kutoka kwa Mungu kile unachotaka"

Gonga

Kugonga mlango ilikuwa njjia ya upole ya kumwomba mtu aliye ndani ya nyumba au chumba afungue mlango.Ikiwa kugonga mlango si kwa upole kwenye utamaduni wenu, tumia neno ambalo linaelezea kwa upole mtu anapotaka kufunguliwa mlango.

nawe utafunguliwa

Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo tendaji. Mungu atakufungulia kwa ajili yako"

au kuna mtu miongoni mwenu ambaye....jiwe?

Yesu anatumia swali kufundisha watu. "Hakuna mtu miongoni mwenu ... jiwe,"

kipande cha mkate

Hii inamaanisha chakula kwa ujumla. "chakula"

jiwe...samaki...nyoka

Haya majina yatafsiriwe kiualisia.

au ikiwa atamwomba samaki, na yeye atampa nyoka?

Yesu anauliza swali jingine kufundisha watu. Inaeleweka kwamba yesu alikuwa anarejea mtu na kijana wake. "Na hakuna mtu miongoni mwenu, ikiwa kijana amemwomba samaki, atampatia nyoka."