sw_tn/mat/07/07.md

44 lines
1.4 KiB
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Maelezo kwa ujumla
Yesu anawaambia makutano juu ya kile kinachoweza kutokea baadaye katika maisha yao binafsi. viwakilishi vya "wewe" na "wake" wake katika wingi.
# Omba...Tafuta...Bisha
Hii ni misemo ya maombi kwa Mungu. Mfumo wa kitenzi inaonyesha kwamba tuendelee kuomba mpaka yeye ajibu. Ikiwa lugha yako ina mfumo wa kufanya kitu na kurudia rudia tena, unaweza kutumia hapa.
# Omba
Hii ina maana ya kuhitaji kitu kutoka kwa Mungu
# Nawe utapewa
Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo hai.AT:"Mungu atakupa kile unachotaka."
# Tafuta
"Tafuta kutoka kwa Mungu kile unachotaka"
# Gonga
Kugonga mlango ilikuwa njjia ya upole ya kumwomba mtu aliye ndani ya nyumba au chumba afungue mlango.Ikiwa kugonga mlango si kwa upole kwenye utamaduni wenu, tumia neno ambalo linaelezea kwa upole mtu anapotaka kufunguliwa mlango.
# nawe utafunguliwa
Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo tendaji. Mungu atakufungulia kwa ajili yako"
# au kuna mtu miongoni mwenu ambaye....jiwe?
Yesu anatumia swali kufundisha watu. "Hakuna mtu miongoni mwenu ... jiwe,"
# kipande cha mkate
Hii inamaanisha chakula kwa ujumla. "chakula"
# jiwe...samaki...nyoka
Haya majina yatafsiriwe kiualisia.
# au ikiwa atamwomba samaki, na yeye atampa nyoka?
Yesu anauliza swali jingine kufundisha watu. Inaeleweka kwamba yesu alikuwa anarejea mtu na kijana wake. "Na hakuna mtu miongoni mwenu, ikiwa kijana amemwomba samaki, atampatia nyoka."