forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
985 B
Markdown
32 lines
985 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Yesu anaendelea kuwafundisha wanafunzi wake katika mahubiri ya mlimani, yanayoanzia 5:1
|
|
|
|
# Maelezo kwa ujumla
|
|
|
|
Yesu anawaambia makutano juu ya kile kinachoweza kutokea kwao baadaye katika maisha binafsi. viwakilishi vya "nawe" na amri viko katika wingi.
|
|
|
|
# Usihukumu
|
|
|
|
Inamaanisha hapa kwamba "hukumu" ina maana ya msingi kuwa "kushutumu vibaya" au "kutangaza kosa"AT:"Usishutumu watu vibaya."
|
|
|
|
# nawe usije ukahukumiwa
|
|
|
|
Hii inaweza kutafsiriwa kwa mfumo hai.AT:"Mungu hawezi kukushutumu wewe vibaya."
|
|
|
|
# Kwa
|
|
|
|
Uwe na uhakika msomaji anaelewa maelezo ya mstari wa 7:2 uwe na msingi alichokisema Yesu katika wa 7:1
|
|
|
|
# kwa hukumu utakayohukumu, nawe utahukumiwa
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo hai.AT: "Mungu atakushutumu wewe hivyo hivyo kama
|
|
|
|
# kipimo
|
|
|
|
Tafsiri inayowezekana ni 1) hii ni kipimo cha hukumu unayopewa au 2) hiki ni kiwango kinachotumika kwa kuhukumu.
|
|
|
|
# utapimiwa hicho hicho
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo hai. "Mungu atatumia kipimo hicho kwako."
|