sw_tn/mat/07/01.md

32 lines
985 B
Markdown

# Sentensi unganishi
Yesu anaendelea kuwafundisha wanafunzi wake katika mahubiri ya mlimani, yanayoanzia 5:1
# Maelezo kwa ujumla
Yesu anawaambia makutano juu ya kile kinachoweza kutokea kwao baadaye katika maisha binafsi. viwakilishi vya "nawe" na amri viko katika wingi.
# Usihukumu
Inamaanisha hapa kwamba "hukumu" ina maana ya msingi kuwa "kushutumu vibaya" au "kutangaza kosa"AT:"Usishutumu watu vibaya."
# nawe usije ukahukumiwa
Hii inaweza kutafsiriwa kwa mfumo hai.AT:"Mungu hawezi kukushutumu wewe vibaya."
# Kwa
Uwe na uhakika msomaji anaelewa maelezo ya mstari wa 7:2 uwe na msingi alichokisema Yesu katika wa 7:1
# kwa hukumu utakayohukumu, nawe utahukumiwa
Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo hai.AT: "Mungu atakushutumu wewe hivyo hivyo kama
# kipimo
Tafsiri inayowezekana ni 1) hii ni kipimo cha hukumu unayopewa au 2) hiki ni kiwango kinachotumika kwa kuhukumu.
# utapimiwa hicho hicho
Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo hai. "Mungu atatumia kipimo hicho kwako."