sw_tn/mat/06/11.md

20 lines
550 B
Markdown

# Maelezo kwa ujumla
Mionekano ya viwakilishi vya "nasi," "utu," "wetu" unaonesha makutano ambao Yesu alikuwa akiwahutubia.
# mkate wa kila siku
Hapa "mkate" inamaanisha chakula kwa ujumla,
# deni
Deni ni kile ambacho mtu anamdai mwingine. Huu ni msemo wa dhambi.
# wadeni
Mdai ni mtu ambaye anadai deni kwa mwingine. Huu ni msemo kwa wenye dhambi.
# usitulete katika majaribu
Neno "majaribu" jina la kitenzi, inaweza kuelezwa kama kitenzi. "usituletee kitu chochote cha kutujaribu" au "usituletee kitu cha kutufanya tushawishike na dhambi"