forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
550 B
Markdown
20 lines
550 B
Markdown
# Maelezo kwa ujumla
|
|
|
|
Mionekano ya viwakilishi vya "nasi," "utu," "wetu" unaonesha makutano ambao Yesu alikuwa akiwahutubia.
|
|
|
|
# mkate wa kila siku
|
|
|
|
Hapa "mkate" inamaanisha chakula kwa ujumla,
|
|
|
|
# deni
|
|
|
|
Deni ni kile ambacho mtu anamdai mwingine. Huu ni msemo wa dhambi.
|
|
|
|
# wadeni
|
|
|
|
Mdai ni mtu ambaye anadai deni kwa mwingine. Huu ni msemo kwa wenye dhambi.
|
|
|
|
# usitulete katika majaribu
|
|
|
|
Neno "majaribu" jina la kitenzi, inaweza kuelezwa kama kitenzi. "usituletee kitu chochote cha kutujaribu" au "usituletee kitu cha kutufanya tushawishike na dhambi"
|