sw_tn/mat/06/11.md

550 B

Maelezo kwa ujumla

Mionekano ya viwakilishi vya "nasi," "utu," "wetu" unaonesha makutano ambao Yesu alikuwa akiwahutubia.

mkate wa kila siku

Hapa "mkate" inamaanisha chakula kwa ujumla,

deni

Deni ni kile ambacho mtu anamdai mwingine. Huu ni msemo wa dhambi.

wadeni

Mdai ni mtu ambaye anadai deni kwa mwingine. Huu ni msemo kwa wenye dhambi.

usitulete katika majaribu

Neno "majaribu" jina la kitenzi, inaweza kuelezwa kama kitenzi. "usituletee kitu chochote cha kutujaribu" au "usituletee kitu cha kutufanya tushawishike na dhambi"