forked from WA-Catalog/sw_tn
550 B
550 B
Maelezo kwa ujumla
Mionekano ya viwakilishi vya "nasi," "utu," "wetu" unaonesha makutano ambao Yesu alikuwa akiwahutubia.
mkate wa kila siku
Hapa "mkate" inamaanisha chakula kwa ujumla,
deni
Deni ni kile ambacho mtu anamdai mwingine. Huu ni msemo wa dhambi.
wadeni
Mdai ni mtu ambaye anadai deni kwa mwingine. Huu ni msemo kwa wenye dhambi.
usitulete katika majaribu
Neno "majaribu" jina la kitenzi, inaweza kuelezwa kama kitenzi. "usituletee kitu chochote cha kutujaribu" au "usituletee kitu cha kutufanya tushawishike na dhambi"