forked from WA-Catalog/sw_tn
44 lines
1.1 KiB
Markdown
44 lines
1.1 KiB
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Yesu anaanza kufundisha juu ya maombi
|
|
|
|
# Maelezo kwa ujumla
|
|
|
|
Yesu anaongea na makutano juu ya kile kinachoweza kutokea baadaye katika maisha binafsi.. Viwakilisha vya "una" na "yao" katika mstari wa 5 na 6 viko katika wingi: katika mstari wa 6 viko katika umoja lakini waweza kuvitafsiri katika wingi.
|
|
|
|
# ili kwamba watu wawatazame
|
|
|
|
Inamaanisha kwamba wale wanaowatazama watawapa heshima. Hii inaweza kuelezeka kwa mfumo tendaji"ili kwamba watu wawatazame wao na kuwapa heshima."
|
|
|
|
# kweli ninawaambia
|
|
|
|
ukweli ninakuambia." Huu msemo jnaongeza na kusisitiza kile ambacho Yesu atakisema baadaye'
|
|
|
|
# ingia chumbani. Funga mlango
|
|
|
|
"nenda sehemu ya usiri" au "nenda sehemu ambayo utakuwa peke yako"
|
|
|
|
# Baba aliye sirini
|
|
|
|
Tafsiri inayowezekana ni 1) hakuna anayeweza kumwona Mungu au 2) Mungu yuko sehemu ya siri pamoja na mtu anayeomba.
|
|
|
|
# Baba
|
|
|
|
Hii ni sifa muhimu ya Mungu
|
|
|
|
# Baba yako aonaye sirini
|
|
|
|
Baba yako ataona kile ufanyacho sirini"
|
|
|
|
# kurudia yasiyo na maana
|
|
|
|
"kurudia maneno yasiyo na maana"
|
|
|
|
# watasikiwa
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezeka kwa mfumo tendaji. "miungu yao ya uongo itawasikiliza"
|
|
|
|
# maneno mengi
|
|
|
|
sara ndefu" au "maneno mengi"
|