sw_tn/mat/06/05.md

44 lines
1.1 KiB
Markdown

# Sentensi unganishi
Yesu anaanza kufundisha juu ya maombi
# Maelezo kwa ujumla
Yesu anaongea na makutano juu ya kile kinachoweza kutokea baadaye katika maisha binafsi.. Viwakilisha vya "una" na "yao" katika mstari wa 5 na 6 viko katika wingi: katika mstari wa 6 viko katika umoja lakini waweza kuvitafsiri katika wingi.
# ili kwamba watu wawatazame
Inamaanisha kwamba wale wanaowatazama watawapa heshima. Hii inaweza kuelezeka kwa mfumo tendaji"ili kwamba watu wawatazame wao na kuwapa heshima."
# kweli ninawaambia
ukweli ninakuambia." Huu msemo jnaongeza na kusisitiza kile ambacho Yesu atakisema baadaye'
# ingia chumbani. Funga mlango
"nenda sehemu ya usiri" au "nenda sehemu ambayo utakuwa peke yako"
# Baba aliye sirini
Tafsiri inayowezekana ni 1) hakuna anayeweza kumwona Mungu au 2) Mungu yuko sehemu ya siri pamoja na mtu anayeomba.
# Baba
Hii ni sifa muhimu ya Mungu
# Baba yako aonaye sirini
Baba yako ataona kile ufanyacho sirini"
# kurudia yasiyo na maana
"kurudia maneno yasiyo na maana"
# watasikiwa
Hii inaweza kuelezeka kwa mfumo tendaji. "miungu yao ya uongo itawasikiliza"
# maneno mengi
sara ndefu" au "maneno mengi"