sw_tn/mat/06/05.md

1.1 KiB

Sentensi unganishi

Yesu anaanza kufundisha juu ya maombi

Maelezo kwa ujumla

Yesu anaongea na makutano juu ya kile kinachoweza kutokea baadaye katika maisha binafsi.. Viwakilisha vya "una" na "yao" katika mstari wa 5 na 6 viko katika wingi: katika mstari wa 6 viko katika umoja lakini waweza kuvitafsiri katika wingi.

ili kwamba watu wawatazame

Inamaanisha kwamba wale wanaowatazama watawapa heshima. Hii inaweza kuelezeka kwa mfumo tendaji"ili kwamba watu wawatazame wao na kuwapa heshima."

kweli ninawaambia

ukweli ninakuambia." Huu msemo jnaongeza na kusisitiza kile ambacho Yesu atakisema baadaye'

ingia chumbani. Funga mlango

"nenda sehemu ya usiri" au "nenda sehemu ambayo utakuwa peke yako"

Baba aliye sirini

Tafsiri inayowezekana ni 1) hakuna anayeweza kumwona Mungu au 2) Mungu yuko sehemu ya siri pamoja na mtu anayeomba.

Baba

Hii ni sifa muhimu ya Mungu

Baba yako aonaye sirini

Baba yako ataona kile ufanyacho sirini"

kurudia yasiyo na maana

"kurudia maneno yasiyo na maana"

watasikiwa

Hii inaweza kuelezeka kwa mfumo tendaji. "miungu yao ya uongo itawasikiliza"

maneno mengi

sara ndefu" au "maneno mengi"