1.1 KiB
Sentensi unganishi
Yesu anaanza kufundisha juu ya maombi
Maelezo kwa ujumla
Yesu anaongea na makutano juu ya kile kinachoweza kutokea baadaye katika maisha binafsi.. Viwakilisha vya "una" na "yao" katika mstari wa 5 na 6 viko katika wingi: katika mstari wa 6 viko katika umoja lakini waweza kuvitafsiri katika wingi.
ili kwamba watu wawatazame
Inamaanisha kwamba wale wanaowatazama watawapa heshima. Hii inaweza kuelezeka kwa mfumo tendaji"ili kwamba watu wawatazame wao na kuwapa heshima."
kweli ninawaambia
ukweli ninakuambia." Huu msemo jnaongeza na kusisitiza kile ambacho Yesu atakisema baadaye'
ingia chumbani. Funga mlango
"nenda sehemu ya usiri" au "nenda sehemu ambayo utakuwa peke yako"
Baba aliye sirini
Tafsiri inayowezekana ni 1) hakuna anayeweza kumwona Mungu au 2) Mungu yuko sehemu ya siri pamoja na mtu anayeomba.
Baba
Hii ni sifa muhimu ya Mungu
Baba yako aonaye sirini
Baba yako ataona kile ufanyacho sirini"
kurudia yasiyo na maana
"kurudia maneno yasiyo na maana"
watasikiwa
Hii inaweza kuelezeka kwa mfumo tendaji. "miungu yao ya uongo itawasikiliza"
maneno mengi
sara ndefu" au "maneno mengi"