sw_tn/mat/05/23.md

725 B

una

Yesu anawaambia kundi la watu juu ya kile kinachoweza kutokea kwao kibinafsi. matukio yote yanayohusiana na viwakilishi "una" na "yako" yametumika katika hali ya umoja, lakini lugha yako inaweza kukutaka utafsiri katika wingi

unatoa sadaka yako

"kutoa sadaka yako" au "kuleta sadaka yako"

katika madhabahu

Hii inamaanisha kuwa ni madhabahu ya Mungu iliyo hekaluni kule Yerusalemu, " madhabahuni pa Mungu hekaluni".

na unakumbuka kuwa

"na ukumbuke ukiwa umesimama madhabahuni"

ndugu yako ana jambo lolote dhidi yako

"mtu mwingine ana hasira na wewe kwa sababu ya kile ulichomfanyia"

kapatane kwanza na ndugu yako

Hili linaweza kuelezeka katika muundo tendaji. "jambo la kwanza ni kutafuta suluhu"