sw_tn/mat/05/05.md

669 B

wanyenyekevu

"wapole" au "wale ambao hawategemei uwezo wao wenyewe"

watarithi nchi

"Mungu atawapa nchi yote."

wenye njaa na kiu ya haki

Sitiari hii humaanisha mtu anapaswa kwa uhodari kufanya kilicho sahihi. "kutamani kuishi kwa unyofu kama ilivyo kutamani chakula na kinywaji.

watashibishwa

Hii inaweza kuelezwa katika namna ya mfumo tendaji. "Mungu atawashibisha" au "Mungu atawatosheleza."

walio safi wa moyo

"watu ambao mioyo yao ni safi." Hapa "safi" hurejelea kwa kutamani kwa mtu. wale ambao tu wanataka kumtumikia Mungu."

watamwona Mungu

Hapa "kuona" inamaanistha wataweza kuishi katika uwepo wa Mungu." "Mungu atawaruhusu kuishi naye."