forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
669 B
Markdown
24 lines
669 B
Markdown
|
# wanyenyekevu
|
||
|
|
||
|
"wapole" au "wale ambao hawategemei uwezo wao wenyewe"
|
||
|
|
||
|
# watarithi nchi
|
||
|
|
||
|
"Mungu atawapa nchi yote."
|
||
|
|
||
|
# wenye njaa na kiu ya haki
|
||
|
|
||
|
Sitiari hii humaanisha mtu anapaswa kwa uhodari kufanya kilicho sahihi. "kutamani kuishi kwa unyofu kama ilivyo kutamani chakula na kinywaji.
|
||
|
|
||
|
# watashibishwa
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa katika namna ya mfumo tendaji. "Mungu atawashibisha" au "Mungu atawatosheleza."
|
||
|
|
||
|
# walio safi wa moyo
|
||
|
|
||
|
"watu ambao mioyo yao ni safi." Hapa "safi" hurejelea kwa kutamani kwa mtu. wale ambao tu wanataka kumtumikia Mungu."
|
||
|
|
||
|
# watamwona Mungu
|
||
|
|
||
|
Hapa "kuona" inamaanistha wataweza kuishi katika uwepo wa Mungu." "Mungu atawaruhusu kuishi naye."
|