sw_tn/mat/05/05.md

24 lines
669 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# wanyenyekevu
"wapole" au "wale ambao hawategemei uwezo wao wenyewe"
# watarithi nchi
"Mungu atawapa nchi yote."
# wenye njaa na kiu ya haki
Sitiari hii humaanisha mtu anapaswa kwa uhodari kufanya kilicho sahihi. "kutamani kuishi kwa unyofu kama ilivyo kutamani chakula na kinywaji.
# watashibishwa
Hii inaweza kuelezwa katika namna ya mfumo tendaji. "Mungu atawashibisha" au "Mungu atawatosheleza."
# walio safi wa moyo
"watu ambao mioyo yao ni safi." Hapa "safi" hurejelea kwa kutamani kwa mtu. wale ambao tu wanataka kumtumikia Mungu."
# watamwona Mungu
Hapa "kuona" inamaanistha wataweza kuishi katika uwepo wa Mungu." "Mungu atawaruhusu kuishi naye."