forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
448 B
Markdown
16 lines
448 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Yesu anawaita watu zaidi kuwa wanafunzi wake.
|
|
|
|
# Aliwaita
|
|
|
|
"Yesu aliwaita Yohana na Yakobo." Kirai hiki pia humaanisha kwamba aliwakaribisha kumfuata, kuishi naye, na kuwa wanafunzi wake.
|
|
|
|
# maramoja
|
|
|
|
"wakati huo huo"
|
|
|
|
# waliuacha mtumbwi...na walimfuata
|
|
|
|
Inapaswa kuwa wazi kwamba haya ni mabadiliko ya maisha. Watu hawa hawaendi tena kuwa wavuvi na wanaacha shughuli za familia zao kumfuata Yesu kwa maisha yao waliyo nayo.
|