sw_tn/mat/04/21.md

448 B

Sentensi unganishi

Yesu anawaita watu zaidi kuwa wanafunzi wake.

Aliwaita

"Yesu aliwaita Yohana na Yakobo." Kirai hiki pia humaanisha kwamba aliwakaribisha kumfuata, kuishi naye, na kuwa wanafunzi wake.

maramoja

"wakati huo huo"

waliuacha mtumbwi...na walimfuata

Inapaswa kuwa wazi kwamba haya ni mabadiliko ya maisha. Watu hawa hawaendi tena kuwa wavuvi na wanaacha shughuli za familia zao kumfuata Yesu kwa maisha yao waliyo nayo.