sw_tn/mat/04/10.md

490 B

Maelezo yanayounganisha:

Huu ni mwisho wa sehemu ya simulizi kuhusu jinsi Shetani alivyo mjaribu Yesu

Taarifa kwa ujumla

Katika mstari su10, Yesu anamkemea ShetanTi na nukuu nyingine kutoka Kumbukumbu la Torati.

Kwa maana imeandikwa

Hii inaweza kuelezwa katika namna yamuundo tendaji. "Musa pia aliandika katika maandiko."

Yakupasa

Hapa "yakupasa" inamaanisha yeyote.

Tazama

Neno "tazama" hapa lina tutahadharisha kuwa makini kwenye habari mpya muhimu ambazo zinafuata.