sw_tn/mat/04/10.md

20 lines
490 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Maelezo yanayounganisha:
Huu ni mwisho wa sehemu ya simulizi kuhusu jinsi Shetani alivyo mjaribu Yesu
# Taarifa kwa ujumla
Katika mstari su10, Yesu anamkemea ShetanTi na nukuu nyingine kutoka Kumbukumbu la Torati.
# Kwa maana imeandikwa
Hii inaweza kuelezwa katika namna yamuundo tendaji. "Musa pia aliandika katika maandiko."
# Yakupasa
Hapa "yakupasa" inamaanisha yeyote.
# Tazama
Neno "tazama" hapa lina tutahadharisha kuwa makini kwenye habari mpya muhimu ambazo zinafuata.