forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
490 B
Markdown
20 lines
490 B
Markdown
|
# Maelezo yanayounganisha:
|
||
|
|
||
|
Huu ni mwisho wa sehemu ya simulizi kuhusu jinsi Shetani alivyo mjaribu Yesu
|
||
|
|
||
|
# Taarifa kwa ujumla
|
||
|
|
||
|
Katika mstari su10, Yesu anamkemea ShetanTi na nukuu nyingine kutoka Kumbukumbu la Torati.
|
||
|
|
||
|
# Kwa maana imeandikwa
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa katika namna yamuundo tendaji. "Musa pia aliandika katika maandiko."
|
||
|
|
||
|
# Yakupasa
|
||
|
|
||
|
Hapa "yakupasa" inamaanisha yeyote.
|
||
|
|
||
|
# Tazama
|
||
|
|
||
|
Neno "tazama" hapa lina tutahadharisha kuwa makini kwenye habari mpya muhimu ambazo zinafuata.
|