sw_tn/mat/02/04.md

943 B

Taarifa kwa ujumla:

Ktoka mstari wa 6, makuhani wakuu na waandishi wa watu wanamnukuu nabii Mika kuonesha kwamba Kristo angezaliwa Bethlehemu.

Katika Bethlehemu ya Yuda

"Katika mji wa Behlehemu katika jimbo la Yuda"

hili ndilo lililoandikwa na nabii

Hili linaweza kuelezwa kwa namna iliyo tendaji. hiki ndicho likchoandikwa na nabii zamani.

Na wewe, Bethlehemu...Israeli

Wanamnukuu nabii Mika.

wewe, Bethlehemu...hu mdogo miongoni mwa viongozi wa Yuda

MIka alikuwa akizungumza na watu wa Bethlehemu kana kwamba walikuwa pamoja naye, lakini hawakuwa naye. Pia "hu mdogo" linaweza kutafsiriwa na kirai chanya. "ninyi watu wa Bethlehemu,...mji wenu ni miongoni mwa miji iliyo muhimu zaidi kuliko yote katika Yuda.

ambaye atawachunga watu wangu Israeli

Mika anamzungumza mtawala huyu mchungaji. Hii inamaanisha ata waongoza na kuwahudumia watu. "ambaye atawaongoza watu wangu Israeli kama mchungaji aongozavyo kondoo wake."