sw_tn/mat/01/04.md

548 B

Salmoni alikuwa baba wa Boazi kwa Rahabu

"Salamoni alikuwa baba wa Boazi, na mama wa Boazi alikuwa Rahabu" au "Salmoni na Rahabu walikuwa wazazi wa Boazi.

BOazi baba wa Obedi kwa Ruth

"Boazi alikuwa baba wa Obedi, na mama wa Obedi alikuwa Ruth" au "Boazi na Ruth walikuwa wazazi wa Obedi"

Daudi alikuwa baba wa Sulemani kwa mke wa Uria.

"Daudi alikuwa baba wa Sulemani, na mama wa Sulemani alikuwa mke wa Uria" au "Daudi na mke wa Uria walikuwa wazazi wa Sulemani"

mke wa Uria

Sulemani alizaliwa baada ya Uria kufa. "mjane wa Uria."