sw_tn/mal/03/16.md

443 B

na kitabu cha kumbukumbu kilikuwa kimeandikwa mbele zake waliomwogopa Bwana

Hii inaweza kumaanisha 1) Waisrael waliandika kitabu ambacho wangekumbuka kile walichokuwa wameahidina kwa majina ya watu wenye hofu na Bwana au 2) Bwana alimfanya mtu flani huko mbinguni kuandika kitabu kikiwa na majina ya wale wanaomwogopa Bwana.

kitabu cha kumbukumbu

kitabu cha kuwasaidia watu kukumbuka mambo muhimu

heshimu jina lake

kumheshimu yeye