forked from WA-Catalog/sw_tn
405 B
405 B
siku za kale, na miaka ya zamani
hizi aya mbili kimsingi zina maana mojana zinasisitiza kuwa sadaka zilipaswa kumpendeza Bwana. "kama ilivyokuwa huko nyuma."
karibia
"Sogea karibu"
Usimwonee mfanya kazi katikamshahara wake
"Usimlipe mfanyakazo mshahara kutokana na yeye alivyo"
kumweka mbali mgeni kutoka kwenye haki zake
kukataa wageni kuishi kwenye jamii ambayo ni haki kila mtu anapata.