sw_tn/mal/03/04.md

405 B

siku za kale, na miaka ya zamani

hizi aya mbili kimsingi zina maana mojana zinasisitiza kuwa sadaka zilipaswa kumpendeza Bwana. "kama ilivyokuwa huko nyuma."

karibia

"Sogea karibu"

Usimwonee mfanya kazi katikamshahara wake

"Usimlipe mfanyakazo mshahara kutokana na yeye alivyo"

kumweka mbali mgeni kutoka kwenye haki zake

kukataa wageni kuishi kwenye jamii ambayo ni haki kila mtu anapata.