sw_tn/mal/01/13.md

564 B

anaye koroma

kuonyesha kutoheshimu kwa kupiga kelele kupitia pua

Nitaikubali hii kutoka kwenye mikono yenu?"

nitaikubali hii kutoka kwenu? hii ni kukemea. Tafsiri zingine : "Sitakuba hakika hii kutoka kwenu!"

Alaaniwe mwenye kudanganya, mwenye mnyama dume katika kundi lake na akaapa kumtoa kwa kwangu

"Nitalaani vitu viovu kwa yeyote anayedanganya kwangu ambaye anaye mnyamna mkamilifu katika zizi lake na anaahidi kumtoa kama sadaka "

na hajatoa kwangu, Bwana, ambayo ni ujanja ujanja

"na pia dhabihu kwangu, Bwana, na mnyama ambaye hayuko imara"