forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
561 B
Markdown
28 lines
561 B
Markdown
# Oh, kama pekee
|
|
|
|
Hii inaelezea hisia kubwa.
|
|
|
|
# ili kwamba msiwe mnawasha moto juu ya madhabahu yangu bure
|
|
|
|
"ili kwamba msitengeneze moto kuteketeza sadaka na dhambi kwa kutoa sadaka zisizo na maana"
|
|
|
|
# Kutoka mikononi mwenu
|
|
|
|
"Kutoka kwenu"
|
|
|
|
# jina langu
|
|
|
|
"mimi"
|
|
|
|
# Kutoa mawio ya jua mpaka machweo yake
|
|
|
|
"Kila mahali," Sambamba na"Katika mataifa" na "kila sehemu"
|
|
|
|
# Jina langu ni kuu katika mataifa
|
|
|
|
"Nitaheshimika katika mataifa yote"
|
|
|
|
# kila sehemu uvumba utafukizwa kwa jina langu
|
|
|
|
"katika mataifa haya watu watafukiza uvumba kwa ajili yangu katika ibada"
|