sw_tn/mal/01/04.md

315 B

Kama Edom akisema

'Kama watu wa Edomu wakisema."

lakini nitawaangusha chini

"Nitaiangamiza"

na wanaume watawaita

"na wanaume wa taifa lingine watawaita"

nchi ya uovu

"nchi ya watu waovu

Macho yako yataona hiki

"Utaona hiki kikitokea'; hii ni kuwa, hawatahitaji mtu yeyote kuwaambia kilichotokea.