forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
508 B
Markdown
24 lines
508 B
Markdown
# Yesu mwenyewe
|
|
|
|
Neno "mwenyewe" linakazia juu ya Yesu na mshangao wa Yesu kiuhakika kuwatokea. Wengi wao walikuwa hawajamuona baada ya ufufuko wake.
|
|
|
|
# katikati yao
|
|
|
|
Tafsiri mbadala: "mahali ambapo wote wanaweza kumuona"
|
|
|
|
# Amani iwe kwenu
|
|
|
|
"Basi iweni na amani" au "Basi Mungu awape amani!"
|
|
|
|
# waliogopa na kujawa na hofu
|
|
|
|
"walishikwa na mshangao na kuogopa"
|
|
|
|
# wakafikiri kwamba waliona roho
|
|
|
|
Walikuwa hawajaelewa kiuhalisia kwamba Yesu kwelikweli yu hai.
|
|
|
|
# roho
|
|
|
|
Hapa inamaanisha roho ya mtu aliyekufa.
|