forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
561 B
Markdown
28 lines
561 B
Markdown
# Akilia kwa sauti kuu, Yesu alisema, "Baba mikononi mwako naiweka roho yangu,"
|
|
|
|
Mungu Baba alikuwa amemtuma Mungu Mwana kufa msalaba ili afanyike sadaka ya mwisho kwa ajili ya dhambi za binadamu. Lakini, Mwana bado alimpenda Baba na kumkabidhi maisha yake kwa Baba yake
|
|
|
|
# Akilia
|
|
|
|
"kupasa sauti"
|
|
|
|
# Baba
|
|
|
|
Hii ni cheo muhimu kwa Mungu
|
|
|
|
# mikononi mwako naiweka roho yangu
|
|
|
|
"Naiweka roho yangu kwako" au " Nakupa roho yangu, nikijua utaitunza"
|
|
|
|
# baada ya kusema hivyo
|
|
|
|
"Baada ya Yesu kusema hivyo"
|
|
|
|
# akafa
|
|
|
|
"Yesu akafa"
|
|
|
|
# yaliyotendeka
|
|
|
|
"mambo yaliyotokea"
|