forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
729 B
Markdown
24 lines
729 B
Markdown
# Je mnakuja kana kwamba mnakuja kupambana na mnyang'anyi, na marungu na mapanga?
|
|
|
|
"Je mnakuja na marungu na mapanga kwa sababu mnafikiri mimi ni mnyang'anyi?" Yesu anatumia hili swali kuwa tahayarisha viongozi wa Kiyahudi. Tafsiri mbadala: "Mnajua kwamba mimi si mnyang'anyi, na bado mnanijia mkileta mapanga na marungu."
|
|
|
|
# Nilipokuwa pamoja nanyi siku zote
|
|
|
|
"Nilikuwa kati yenu kila siku"
|
|
|
|
# hekalu
|
|
|
|
Tafsiri mbadala: "Uwanda wa ndani ya hekalu" au "katika hekalu"
|
|
|
|
# kuweka mikono yenu juu yangu
|
|
|
|
Tafsiri mbadala: "kunikamata"
|
|
|
|
# saa yako
|
|
|
|
"muda wako"
|
|
|
|
# mamlaka ya giza
|
|
|
|
Hii inamaanisha mtawala muovu, Shetani. Tafsiri mbadala: "muda kwa mtawala wa giza" au "muda ambao Shetani anafanya mambo maovu kama anavyopenda kufanya"
|