forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
831 B
Markdown
28 lines
831 B
Markdown
# Nilipowapeleka ninyi
|
|
|
|
Yesu alikuwa akiongelea kuhusu mitume wake.
|
|
|
|
# mfuko
|
|
|
|
Mfuko ni begi la kuwekea fedha. Hapa inatumika kumaanisha "fedha."
|
|
|
|
# kikapu cha vyakula
|
|
|
|
Tafsiri mbadala: "Begi la msafiri" au "chakula"
|
|
|
|
# Je mlipungukiwa na kitu? Wakajibu, "Hapana."
|
|
|
|
Yesu anatumia swali kuwasaidia mitume kukumbuka namna ambavyo watu waliwahudumia vizuri walipokuwa wakisafiri. Tafsiri mbadala: Wakati ule...bado mlikuwa na kila kitu mlichokihitaji.' Na wanafunzi walikubali wakasema 'Ndiyo, tulikuwa na kila kitu tulichokihitaji."
|
|
|
|
# Hakuna
|
|
|
|
"Hatukupungukiwa na kitu" au "Tulikuwa na kila kitu tulichokihitaji"
|
|
|
|
# Yule ambaye hana upanga, imempasa auze joho lake.
|
|
|
|
Yesu alikuwa hamaanishi mtu falani kipekee ambaye hakuwa na upanga. Tafsiri mbadala:"Kama mtu hana upanga, anapaswa kuuza joho lake."
|
|
|
|
# joho
|
|
|
|
"koti" au "nguo ya nje"
|