forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
806 B
Markdown
28 lines
806 B
Markdown
# Maelezo yanayounganisha
|
|
|
|
Sasa Yesu alikuwa anaelekeza umakini wake kwa wanafunzi wake na kuzungumza nao.
|
|
|
|
# Jihadharini na
|
|
|
|
Kujihadhari navyo
|
|
|
|
# Ambao hupenda kupita wamevaa mavazi marefu
|
|
|
|
Mavazi marefu yanaonyesha kuwa walikuwa wa muhimu. walipenda kupitapita wakiwa wamevaa nguo zao za muhimu"
|
|
|
|
# Ambao Pia hula nyumba za wajane
|
|
|
|
"Pia wanakula kwenye nyumba za wajane" "Pia wanachukua kile kinachomilikiwa na wajane"
|
|
|
|
# Wanajifanya wanasali sala ndefu
|
|
|
|
"wanajifanya kuwa ni wenye haki na huomba maombi marefu" au "huomba maombi maraefu ili watu wawaone"
|
|
|
|
# Kujifanya
|
|
|
|
hii inamaanisha Mafarisayo walifanya mambo yaliyowafanya waonekane wana umuhimu na wenye haki kuliko walivyo kiuhalisia.
|
|
|
|
# Hawa watapokea adhabu kubwa.
|
|
|
|
"Watapokea adhabu kubwa kuliko wengine" au "Mungu atawaadhibu zaidi ya wengine"
|