forked from WA-Catalog/sw_tn
364 B
364 B
Yesu alielewa mtego wao
"lakini Yesu alitambua mtego wao ulivyokuwa" au " lakini Yesu alione kuwa walikuwa wanajaribu wanamtega" neno "wao" linamaanisha wapelelezi"
Dinari
Hii ni sarafu ya Kirumi yenye thamani ya mshahara wa siku.
Ni sura na chapa ya nani ipo juu yake
Yesu alitumia swali kuwajibu waliokuwa wanamtega.
Sura na chapa
"picha na jina"