sw_tn/luk/19/28.md

12 lines
274 B
Markdown

# Maelezo yanayounganisha
Huu ni mwisho wa simulizi kuhusu Zakaria. Mstari huu unaelezea aliyoyafanya Yesu baada ya simulizi hii.
# Alipomaliza kusema maneno haya
"Yesu alipomaliza kusema maneno haya"
# Kwenda Yerusalemu
Yerusalemu ilikuwa kama mita 975 juu ya Yeriko.