forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
836 B
Markdown
32 lines
836 B
Markdown
# Kwa maneno yako mwenyewe
|
|
|
|
"Kutokana na ulichokisema"
|
|
|
|
# Kwamba mimi ni mtu mbaya, nachukua
|
|
|
|
Afisa alirudia maneno aliyoyasema mtumishi juu yake. Hakusema kuwa ilikuwa kweli.
|
|
|
|
# Mtu mkali
|
|
|
|
"mtu mkorofi"
|
|
|
|
# Kwa nini hukuweka pesa yangu...... faida?
|
|
|
|
Afisa alitumia swali ili kumkemea Mtumishi dhalimu. "Ungeweka pesa yangu..... faida."
|
|
|
|
# Weka pesa yangu benki
|
|
|
|
"Kopesha pesa zangu benki" Tamaduni ambazo hazina benki zaweka kutafsiri kuwa "Acha mtu aazime pesa zangu."
|
|
|
|
# Benki
|
|
|
|
Benki ni biashara salama ya kuweka pesa za watu. Benki huwakopesha watu pesa kwa faida. Hivyo inalipa pesa ya ziada au faida kwa watu wanaoweka pesa zao benki.
|
|
|
|
# Nitakusanya na faida
|
|
|
|
"Ningekusanya kiasi hicho cha fedha pamoja na faida iliyopatikana" au "ningepata faida"
|
|
|
|
# Faida
|
|
|
|
Faida ni pesa ambayo benki humlipa mtu anayeweka pesa zake katika benki.
|