forked from WA-Catalog/sw_tn
647 B
647 B
Naye akasema kwa sauti
"na tajiri aliita na kusema" au "alipiga kelele kwa Ibrahimu"
Baba Ibrahimu
Ibrahimu alikuwa babu wa Wayahudi wote, ikiwa ni pamoja na mtu mmoja tajiri.
nihurumie
"tafadhali nihurumie" au "tafadhali uniwie radhi mimi"
umtume Lazaro
"kwa kumtuma Lazaro" au "na kuwaambia Lazaro kuja kwangu"
achovye ncha ya kidole chake
Hii inaonyesha udogo wa kiasi alichoomba. "aweze kuloanisha ncha ya kidole chake"
Niko kwenye mateso katika moto huu
"Niko kwenye mateso katika moto huu " au "Mimi naumia sana katika moto huu"
alipiga kelele na kusema
"tajiri alilia kwa kusema" au "alipiga kelele kwa Ibrahimu"