baba akamwambia
neno "yake" inahusu mwana mkubwa.
huyu ndugu yako
baba alikuwa anamkumbusha mwana mkubwa kwamba mtu ambaye alikuja nyumbani alikuwa ndugu yake.
Alikua amekufa, na sasa yu hai
Tazama 15:22
Alikua amepotea na sasa amepatikana
Tazama 15:24