forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
818 B
Markdown
28 lines
818 B
Markdown
# Kuunganisha kauli:
|
|
|
|
Yesu anaanza kuwaambia mfano mwingine. Ni kuhusu kijana ambaye anamuomba baba yake sehemu ya urithi wake.
|
|
|
|
# Mtu mmoja
|
|
|
|
hii ni utangulizi wa mtu mwingine katika mfano. Baadhi ya lugha zinaweza kusema "Kulikuwa na mtu ambaye"
|
|
|
|
# nipe saiv
|
|
|
|
mwana alitaka baba yake ampe haraka. Lugha ambazo zina njia ya amri hiyo ina maana kwamba wanataka iyo ifanyike mara moja unapaswa kutumia njia hiyo.
|
|
|
|
# mali ninayo takiwa kurithi
|
|
|
|
"sehemu ya mali yako kwamba ulipanga kunipa mimi wakati wewe ukifa"
|
|
|
|
# nipe
|
|
|
|
mwana alitaka baba yake ampe haraka. Lugha ambazo zina njia ya amri hiyo ina maana kwamba wanataka iyo ifanyike mara moja unapaswa kutumia njia hiyo.
|
|
|
|
# sehemu ya mali ambayo inaniangukia mimi
|
|
|
|
"sehemu ya mali yako kwamba ulipanga kunipa mimi wakati wewe ukifa"
|
|
|
|
# kati yao
|
|
|
|
"kati ya wanawe wawili"
|