forked from WA-Catalog/sw_tn
451 B
451 B
kuunganisha maelezo
Yesu alimaliza kusimulia mfano wake. Huu ni mwisho wa sehemu ya hadithi ambayo ilianza
Uache
AT '"usiufanyie kitu chochote huu mti" au " usiukate"
na weka mbolea juu yake
"na weka mbolea kwenye udongo." Mbolea ni kinyesi cha wanyama. Watu huiweka kwenye ardhi kufanya udongo kuwa mzuri kwa mimea na miti.
Ukate
Mtumishi alitoa pendekezo; yeye hakuwa anatoa amri kwa mmiliki. AT "Ngoja niukate" au "Niambie niukata."