sw_tn/luk/13/08.md

16 lines
451 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# kuunganisha maelezo
Yesu alimaliza kusimulia mfano wake. Huu ni mwisho wa sehemu ya hadithi ambayo ilianza
# Uache
AT '"usiufanyie kitu chochote huu mti" au " usiukate"
# na weka mbolea juu yake
"na weka mbolea kwenye udongo." Mbolea ni kinyesi cha wanyama. Watu huiweka kwenye ardhi kufanya udongo kuwa mzuri kwa mimea na miti.
# Ukate
Mtumishi alitoa pendekezo; yeye hakuwa anatoa amri kwa mmiliki. AT "Ngoja niukate" au "Niambie niukata."