forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
451 B
Markdown
16 lines
451 B
Markdown
|
# kuunganisha maelezo
|
||
|
|
||
|
Yesu alimaliza kusimulia mfano wake. Huu ni mwisho wa sehemu ya hadithi ambayo ilianza
|
||
|
|
||
|
# Uache
|
||
|
|
||
|
AT '"usiufanyie kitu chochote huu mti" au " usiukate"
|
||
|
|
||
|
# na weka mbolea juu yake
|
||
|
|
||
|
"na weka mbolea kwenye udongo." Mbolea ni kinyesi cha wanyama. Watu huiweka kwenye ardhi kufanya udongo kuwa mzuri kwa mimea na miti.
|
||
|
|
||
|
# Ukate
|
||
|
|
||
|
Mtumishi alitoa pendekezo; yeye hakuwa anatoa amri kwa mmiliki. AT "Ngoja niukate" au "Niambie niukata."
|