forked from WA-Catalog/sw_tn
547 B
547 B
Kauli inayounganisha
Yesu alimaliza kuelezea mfano
atapigwa viboko vingi
"atapigwa mara nyingi" au "atachapwa mara nyingi" ."bwana wake atampiga mara nyingi"au "bwana wake atamuadhibu sana"
kwa kuwa yeye aliyepewa vingi, vingi hudaiwa kutoka kwake
"watahitaji vingi kwa yeyote aliyepokea vingi" au " bwana atahitaji vingi kwa kila mmoja aliyempa vingi"
na yeye aliyeaminiwa kwa vingi
"Kwa yule waliyempatia vitu vingi avitunze" au "kwa yule aliyepewa wajibu mkubwa"
aliyeaminiwa ...vitadaiwa
"bwana alimkabidhi ..bwana atataka"