forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
547 B
Markdown
20 lines
547 B
Markdown
|
# Kauli inayounganisha
|
||
|
|
||
|
Yesu alimaliza kuelezea mfano
|
||
|
|
||
|
# atapigwa viboko vingi
|
||
|
|
||
|
"atapigwa mara nyingi" au "atachapwa mara nyingi" ."bwana wake atampiga mara nyingi"au "bwana wake atamuadhibu sana"
|
||
|
|
||
|
# kwa kuwa yeye aliyepewa vingi, vingi hudaiwa kutoka kwake
|
||
|
|
||
|
"watahitaji vingi kwa yeyote aliyepokea vingi" au " bwana atahitaji vingi kwa kila mmoja aliyempa vingi"
|
||
|
|
||
|
# na yeye aliyeaminiwa kwa vingi
|
||
|
|
||
|
"Kwa yule waliyempatia vitu vingi avitunze" au "kwa yule aliyepewa wajibu mkubwa"
|
||
|
|
||
|
# aliyeaminiwa ...vitadaiwa
|
||
|
|
||
|
"bwana alimkabidhi ..bwana atataka"
|