forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
464 B
Markdown
12 lines
464 B
Markdown
# tafuteni ufalme
|
|
|
|
"kushughulika na ufalme wa Mungu" au "Kutamani sana ufalme wa Mungu"
|
|
|
|
# na hayo mengine mtazidishiwa
|
|
|
|
"hayo mambo mengine pia mtapewa". "Hayo mengine" ina maanisha chakula na mavazi. "Mungu atawapa ninyi hizo vitu"
|
|
|
|
# kundi dogo
|
|
|
|
Yesu aliwaita wanafunzi wake kundi. Kundi ni mkusanyiko wa kondoo au mbuzi ambayo mchungaji anawatunza. Kama vile mchungaji anvyowajali kondoo, Mungu atawajali wanafunzi wa Yesu. "kundi dogo"au "kundi linalopendwa"
|