forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
348 B
Markdown
24 lines
348 B
Markdown
# Kauli inayounganisha
|
|
|
|
Yesu aliendeleza mafundisho yake kwa kuwaeleza mfano
|
|
|
|
# Kisha Yesu akawaambia
|
|
|
|
Huenda Yesu alikuwa bado anaongea na mkutano wote.
|
|
|
|
# ilizaa sana
|
|
|
|
"imezaa mavuno mengi"
|
|
|
|
# ghala
|
|
|
|
jengo ambalo wakulima huhifadhi mazao na chakula wanachopanda baada ya kuvunwa
|
|
|
|
# vitu
|
|
|
|
"Mali"
|
|
|
|
# Nitaiambia nafsi yangu
|
|
|
|
"Nitajiambia mwenyewe"
|