forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
419 B
Markdown
16 lines
419 B
Markdown
# Malkia wa Kusini
|
|
|
|
Hii ilimaanisha malkia wa wa Sheba. Sheba ilikuwa ni ufalme wa kusini mwa Israeli
|
|
|
|
# atasimama siku ya hukumu na watu wa kizazi hiki
|
|
|
|
"Atasima pia na kuwahukumu watu wa kizazi hiki"
|
|
|
|
# kalitoka katika mwisho wa nchi
|
|
|
|
"alikuja tokae umbali mrefu" au " Alikuja kutoka sehemu ya mbali"
|
|
|
|
# Yuko mkuu kuliko Sulemani
|
|
|
|
Yesu alikuwa akiongelea juu yake. "Mimi ni mkuu kuliko Sulemani lakini hamnisikilizi"
|