forked from WA-Catalog/sw_tn
419 B
419 B
Malkia wa Kusini
Hii ilimaanisha malkia wa wa Sheba. Sheba ilikuwa ni ufalme wa kusini mwa Israeli
atasimama siku ya hukumu na watu wa kizazi hiki
"Atasima pia na kuwahukumu watu wa kizazi hiki"
kalitoka katika mwisho wa nchi
"alikuja tokae umbali mrefu" au " Alikuja kutoka sehemu ya mbali"
Yuko mkuu kuliko Sulemani
Yesu alikuwa akiongelea juu yake. "Mimi ni mkuu kuliko Sulemani lakini hamnisikilizi"