sw_tn/luk/10/31.md

16 lines
639 B
Markdown

# Kwa bahati
Hiki ni kitu ambacho hakuna alikuwa amepanga.
# kuhani fulani
Maelezo haya yanatambulisha mtu mpya katika simuilizi, lakini haimutaji kwa jina lake.
# Na alipomuona
"Na baada ya kuhani kumuona yule mtu aliekuwa amejeruhiwa".Kuhani ni mtu wa dini, hivyo watu walihisi ya kuwa angemsaidia yule mtu.Kwa sababu hakumsaidia aya hii ingeweza kutafasiriwa kama "lakini baaada ya kumuona" kuleta umakini kwa hii hali ambayo haikutokea kama ilivyokuwa ikitarajiwa.
# Akapita uapende mwingine wa barabara
Inaonesha dhahiri ya kuwa hakumsaidia yule mtu mwenye majeraha. AT:"hakumsaidia yule mwenye majeraha badala yake alimpita".