sw_tn/luk/09/01.md

16 lines
376 B
Markdown

# Sentensi Unganishi
Yesu anawakumbusha wanafunzi wake waasitegemee pesa na vitu nyao, anawapa nguvu, na pia awatuma waende sehemu mbalimbali.
# nguvu na mamlaka
Maneno haya mawili yametumika pamoja kuonesha kwamba wale kumi na wawili walikuwa na uwezo na haki ya kuponya watu.
# magonjwa
"ugonjwa"
# aliwatuma nje
"aliwatuma sehemu mbalimnbali" au "aliwambia waende"