forked from WA-Catalog/sw_tn
18 lines
579 B
Markdown
18 lines
579 B
Markdown
# Luka 04 Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
## Muundo na upangiliaji
|
|
|
|
Baadhi ya tafsiri hupendelea kuweka mbele kidogo nukuu za Agano la Kale. ULB na tafsiri nyingine nyingi za Kiingereza huingiza mistari ya 4:10-11, 18-19, ambayo ni nukuu kutoka Agano la Kale.
|
|
|
|
## Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii
|
|
|
|
### Yesu alijaribiwa na shetani
|
|
|
|
Ingawa ni kweli kwamba shetani aliamini kwa hakika kwamba angeweza kumshawishi Yesu kumtii, ni muhimu kuonyesha kama Yesu hakutaka kumtii hata kidogo.
|
|
|
|
## Links:
|
|
|
|
* __[Luke 04:01 Notes](./01.md)__
|
|
|
|
__[<<](../03/intro.md) | [>>](../05/intro.md)__
|