sw_tn/luk/04/intro.md

18 lines
579 B
Markdown

# Luka 04 Maelezo ya Jumla
## Muundo na upangiliaji
Baadhi ya tafsiri hupendelea kuweka mbele kidogo nukuu za Agano la Kale. ULB na tafsiri nyingine nyingi za Kiingereza huingiza mistari ya 4:10-11, 18-19, ambayo ni nukuu kutoka Agano la Kale.
## Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii
### Yesu alijaribiwa na shetani
Ingawa ni kweli kwamba shetani aliamini kwa hakika kwamba angeweza kumshawishi Yesu kumtii, ni muhimu kuonyesha kama Yesu hakutaka kumtii hata kidogo.
## Links:
* __[Luke 04:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../03/intro.md) | [>>](../05/intro.md)__