forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
1.1 KiB
Markdown
32 lines
1.1 KiB
Markdown
# Kama watu
|
|
|
|
"Kwa sababu watu." Hii inamaanisha watu walewale waliokuja kwa Yohana.
|
|
|
|
# wasiwasi katika mioyo yao
|
|
|
|
Udhihirisho huu hapa unamaanisha "fikiria juu yao kwa utulivu"
|
|
|
|
# Yohana alijibu kwa kusema
|
|
|
|
Jibu la Yohana kuhusiana na mtu mkuu ajaye ni wazi inamaanisha Yohana siyo Kristo. Inaweza kusaidia kusema hili wazi kwaajili watu wako, kama UDB, inavyofanya. "Hapana, Mimi siye"
|
|
|
|
# Nawabatiza kwa maji
|
|
|
|
"Nawabatiza kwa kutumia maji" au "Nawabatiza kwa nyenzo ya maji"
|
|
|
|
# Haistahili hata kufungua kamba za viatu vyake
|
|
|
|
Kufungua kamba za viatu ilikuwa ni wajibu wa mtumwa. Yohana alikuwa anasema kwamba yule atakayekuja ni mkubwa kiasi kwamba Yohana hakustahili hata kuwa mtumwa wake. AT: "Hafikii umuhimu hata kulegeza kamba za viatu vyake."
|
|
|
|
# Viatu
|
|
|
|
"Viatu vilivyotengenezwa kwa ngozi" au "Aina ya viatu vya wazi vyenye kamba za ngozi"
|
|
|
|
# Atawabatizeni kwa Roho Mtakatifu na kwa moto
|
|
|
|
Huu mfano unalinganisha ubatizo wa kawaida unamleta mtu katika muunganiko na maji kwenye ubatizo wa kiroho unaowaleta katika muunganiko na Roho Mtakatifu na moto.
|
|
|
|
# Moto
|
|
|
|
Hapa neno "moto" linamaanisha 1) hukumu au 2) utakaso. Inafaa kuionda kama moto
|