forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
611 B
Markdown
32 lines
611 B
Markdown
# ikatokea
|
|
|
|
Baadhi ya lugha zinaweza kusema "kwenda"
|
|
|
|
# aliongozwa na Roho Mtakatifu
|
|
|
|
Hii inaweza kusemwa katika mtindo tendea. NI: "kama Roho Mtakatifu alivyo mwelekeza."
|
|
|
|
# kwenye hekalu
|
|
|
|
"katika kiwanja cha hekalu." Makuhani tu wangeliigia kwenye jengo la hekalu.
|
|
|
|
# wazazi
|
|
|
|
"wazazi' wa Yesu"
|
|
|
|
# desturi ya sheria
|
|
|
|
"desturi ya sheria ya Mungu"
|
|
|
|
# Sasa mpe ruhusa mtumishi wako aende kwa amani
|
|
|
|
"Mimi mtumishi wako; niruhusu niende katika amani." Simeoni alikuwa anarejea kwake mwenyewe.
|
|
|
|
# ondoka
|
|
|
|
Hii ni tasifida imaanishayo "kufa"
|
|
|
|
# kutokana na neno lako
|
|
|
|
"kama ulivyosema" au "kwasababu ulisema ningeli"
|