sw_tn/luk/01/56.md

401 B

Kauli Unganisha

Elizabethi anajifungua mtoto wake na Zakaria anamwita jina mtoto wao.

alirudi nyumbani kwake

"Mariamu alirudi nyumbani kwake" au "Mariamu alirudi kwenye nyumba yake"

Sasa

Neno hili linaonesha mwanzo wa tukio linalofuata katika historia.

Jirani zake na ndugu zake

"majirani na ndugu wa Elizabethi"

alizidisha rehema yake kwaajili yake

""amekuwa mwema sana kwake" UDB