forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
1.1 KiB
Markdown
40 lines
1.1 KiB
Markdown
# Namna gani hili litatokea
|
|
|
|
NI: "Hili linawezekana kwa namna gani?" Ingawa Mariamu hakuelewa jinsi itakavyotokea, yeye hakuwa na shaka kwamba ingelitokea.
|
|
|
|
# Mimi sijalala pamoja na mwanaume yeyote
|
|
|
|
Mariamu alitumia hali halisi kusema kwamba hajawahi kuhusika kwenye tendo la ngono. NI: "Mimi ni bikra" (UDB)
|
|
|
|
# Roho Mtakatifu atakuja juu yako
|
|
|
|
utungaji mimba wa Mariamu ungelianza na ujio wa Roho Mtakatifu kwake.
|
|
|
|
# atakuja juu
|
|
|
|
"kuja ghafla" au "atakutokea"
|
|
|
|
# nguvu ya aliye Juu Sana
|
|
|
|
Ilikuwa ni nguvu ya Mungu ingelikuja zaidi ya kawaida kumsababisha Mariamu kuwa mjamzito hata wakati akiwa bado akabaki bikra. Hakikisha hii haidokezi hali au muungano wa ngono - huu ulikuwa muujiza.
|
|
|
|
# itakuja juu yako
|
|
|
|
"utafunikwa kma kivuli"
|
|
|
|
# mtakatifu
|
|
|
|
"mtoto mtakafu" au "mtoto mchanga mtakatifu"
|
|
|
|
# atakuwa akiitwa
|
|
|
|
Maana zinazowezekana 1)"watu watamwita" au 2) Mungu atamwita
|
|
|
|
# Hivyo mtakatifu atakayezaliwa ataitwa Mwana wa Mungu
|
|
|
|
Ingawaje mama yake Yesu alikuwa mwanadamu, Mungu zaidi ya kawaida alimweka Yesu tumboni mwake. Hivyo basi, Mungu alikuwa Baba yake, na Yesu alikuwa anaitwa "Mwana wa Mungu."
|
|
|
|
# Mwana wa Mungu
|
|
|
|
Hii ni sifa mhimu kwaajili ya Yesu.
|