forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
1.0 KiB
Markdown
20 lines
1.0 KiB
Markdown
# Nitaigeuza miji yennu kuwa magofu na kupaharibu patakatifu penu
|
|
|
|
Kwa sababu Mungu angetuma majeshi kufanya mambo haya, anasungumza kana kwamba angeyafanya yeye mwenyewe. : "Nitatuma majeshi ya maadui ili kuigeuza miji yenu magofu na kuziharibu madhabahu zenu"
|
|
|
|
# patakatifu penu
|
|
|
|
Kullikuwa na mahali ambapo watu waliabudu sanamu badala ya Mungu.
|
|
|
|
# Nami sitapendezwa na harufu nzuri ya matoleo yenu
|
|
|
|
Kwa kawaida Bwana kufurahisha na harufu nzuri huwakilisha kule kufurahishwa kwake na wanaoteketeza hizo sadaka, lakini katika hili, watu wangaliteketeza sadaka zao, lakini Mungu asingependezwa nao. : "Nanyi mteteketeza sadaka zenu, lakini stapendezwa nanyi"
|
|
|
|
# Nitaufuta upanga wangu na kuwafuatia
|
|
|
|
Hii huwakilisha utumaji wa majeshi ili kuwavamia. "Nitatuma majeshi ya maadui ili kuwashambulia nyinyi" au "Nitatuma majeshi ya maadui ili kuwashambulia nyinyi kwa mapanga"
|
|
|
|
# Nchi yenu itatelekezwa, na miji yenu itakuwa magofu
|
|
|
|
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "nany mtaitelekeza nchi yenu , nao adui zenu wataiharibu miji yenu"
|