sw_tn/lev/25/47.md

305 B

baada ya Mwisraeli mwenzako kuwa amenunuliwa, anaweza kurejeshwa kwa maliopo. Mtu mwingine katika familia yake anaweza kumkomboa

Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "Baada ya mgeni kumnunua Mwisraeli mwenzako mtu mwingine katika familia ya Mwisraeli aweza kumnunua tena aliyekuwa ameuzwa>